Category : Shambani

Kilimo Bora Cha Migomba

Utangulizi Nchini Tanzania na hata kwingineko katika nchi zingine, wakulima walio wengi hujishughulisha sana kulima mazao mengi ya kibiashara ikiwezo matunda na mbogamboga na kusahau kabisa kilimo cha ndizi ambacho

Continue reading

Matumizi Ya Samadi (Samadi ya kuku, mbuzi na ng’ombe)

Samadi ndiyo mbolea ya kwanza kuwekwa shambani bada ya kulima. Wakulima wengi hutumia mbolea ya samadi ya kuku kutegemeana na uwezekano wa kupatikana. Hata hivyo, samadi za mifugo tofauti zina

Continue reading

Jipatie MICHE BORA YA MATUNDA (Simu: 0763 071007)

Jipatie Miche bora ya matunda mbalimbali kama Papai, Michungwa, Miembe, Miparachihchi, Pesheni (passion), Limao, Mipera, Michenza, Misatafeli, Topetope, Mifenesi minazi, n.k. Embe Miembe ni ile mifupi iliyofanyiwa Grafting. Miaka 3

Continue reading

FAIDA ZA KUUNGANISHA/KUBEBESHA MICHE (Grafting/budding)

Sehemu mbili za mimea ya jamii moja (muembe kwa muembe, mparachichi kwa mparachichi) au miche ya aina tofauti kidogo ila jamii moja (mchungwa kwa mlimao) ndiyo inayoweza kuunganishwa au kubebeshwa.

Continue reading

Faida za Miparachichi, Miembe na Michungwa

1.1 MIPARACHICHI Miparachichi imekuwepo nchini kwa miaka mingi. Katika mikoa ya kaskazini (Kilimanjaro na Arusha) pamoja na kutumika kama matunda, maparachichi yalibeba jina la chakula cha mbwa kwa kuwa mara

Continue reading

Mwongozo wa Kilimo Bora cha Papai

Utangulizi:Mapapai ni zao moja kati ya mazao ya matunda yenye vitamini A na madini ya kalsiamu kwa wingi. Inaamanika asili ya papai, ni huko nchi za Amerka ya kati, (Mexico),

Continue reading

Kilimo cha Viazi Vitamu (sweet Potatoes)

Viazi vitamu ni moja kati ya mazao makuu ya mizizi nchini Tanzania ambalo hulimwa kwa ajili ya chakula. Zao hili ni moja kati ya mazao ya kinga ya njaa kutokana

Continue reading

Udongo na Umhimu wa Kupima Udongo

  Habari mdau wa kilimo Leo tunakwenda kujifunza kuhusu Udongo, aina za udongo, virutubisho vilivyopo kwenye udongo pamoja na upimaji wa udongo. Udongo ni nini? Udongo ni tabaka juu ya

Continue reading

Habari Njema: Kitabu Kipya cha Tikiti Maji sasa kupatikana kwa njia ya Mtandao

Habari njema, Kitabu kipya cha Tikiti Maji sasa kinapatikana kwa njia ya mtandao (email, telegram, na Whatsapp). Baada ya maoni ya wadau (hususani walioko mbali) kuhusu kupata nakala za kitabu

Continue reading

Zawadi ya KITABU cha Kilimo kwa Mwezi August 2017

Habari mjasiriamali wa kilimo, Hongera kwa mapambano ya kusaka mafanikio kupitia Kilimo. Tunafurahi sana kufanya kazi pamoja na Wewe, hususani kwenye eneo la kupeana maarifa ya kilimo biashara. Lengo letu

Continue reading