BLOG

Eliza: Mkulima wa Papai

Eliza: Mkulima wa Papai

Leo tunakwenda kumwangazia mkulima Eliza, mwandada mwenye dhamira ya kufanya makubwa kwenye kilimo. Baada ya miezi kadhaa ya kufanya kazi na Eliza kwenye project yake ya Papai, sasa hivi Eliza

Continue reading

Soko: Je utajuaje kipindi chenye soko zuri?

Kama tulivyoshuhudia hivi karibuni namna bei ya nyanya na vitunguu ilivyopanda hadi kufikia kuwa gumzo kwa taifa zima. Mfano kuna maeneo tenga moja la nyanya la kilo 40 lilifika hadi

Continue reading

Ongeza Mavuno ya Tikiti Maji kwa Asilimia 80%

Leo ni siku nyingine ambapo tunaendelea kujifunza somo letu kuhusu kilimo cha matikiti maji, kwenye somo lililopita nilikuahidi kuendelea kudadavua mambo muhimu kwenye kilimo cha tikiti kabla hatujaanza zao lingine.

Continue reading

OFA! OFA! OFA Maalumu – mwisho 31. Dec.2019

Ile Ofa maalumu imerudi tena. Kwa msimu huu wa sikuu za mwisho wa mwaka tunakuletea OFA maalumu ya kupata vitabu 3 vya kilimo kwa punguzo la zaidi ya asimia 70

Continue reading

OFA! OFA ! OFA! Miche ya Matunda

MICHE YA MATUNDA ILIYOBORESHWA. Je unataka kuwekeza kwenye Kilimo cha miti ya matunda chenye faida? Kigezo muhimu sana cha kuzingatia, ni kupanda miche bora yenye uhakika. Kilimo Biashara tunakuletea miche

Continue reading

Jipatie Miche Bora ya Matunda MbaliMbali

Jipatie Miche Bora ya Papai, Michungwa, Miembe, Miparachihchi, Pesheni (passion), Limao, Mipera n.k. Tunayo Miche ya Papai ya aina mbalimbali: Mipapai mifupi yenye rangi nyekundu ndani, mipapai mifupi yenye rangi

Continue reading

Jipatie Greenhouse za bei Nafuu:

OFA OFA OFA: Pata Greenhouse kwa bei ya punguzo.Kwa Mwezi March, April na May 2020 tunakuletea OFA maalumu ya kutengenezewa Greenhouse kwa gharama nafuu. Ukubwa wa Greenhouse na bei zake

Continue reading

Vifaa vya Drip Irrigation

Vifaa vya Drip Irrigation

Karibu Upate Huduma ya kufungiwa Drip Irrigation kwenye shamba lako kwa bei nafuu kabisa. Tunazo Drip maalamu kwa ajili ya mbogamboga kama Nyanya, Hoho, Vitunguu, nk. Vilevile tunazo Drip maalum

Continue reading

Greenhouse – Fursa na Faida zake

Habari ndugu mjasiriamali wa kilimo ni matumaini yangu unaendelea vizuri na mapambano ya kuelekea kwenye mafanikio kupitia kilimo. Karibu tena katika kona hii ya kupata maarifa ya kilimo. Kutokana na

Continue reading

Greenhouse Mpya – Dege Kigamboni

Greenhouse Mpya – Dege Kigamboni

Project ya Greenhouse hapa Dege, Kigamboni Dar, inaendelea vyema. Leo tumekamilisha zoezi la kufunika. Tunaelekea ukingoni kabisa kukamilisha ujenzi wa project hii. Greenhouse hii ni ndogo na imejengwa nyumbani kabisa

Continue reading

VITABU: OFA Maalumu kwa Mwezi February 2020

OFA Maalumu kwa mwezi February 2020. Sasa unaweza kupata Vitabu 3 kwa punguzo kubwa la bei la 20,000 unapata vitabu vyote 3 badala ya bei yake halisi ya 45,000 Vitabu

Continue reading

Aina za machungwa zinazozalishwa nchini Tanzania

Kuna aina nyingi sana za machungwa zinazozalishwa kote dunia. Hizi ni baadhi ya aina za machungwa yanayozalishwa nchini Tanzania. 1. Late Valencia: Aina hii ya machungwa huchelewa kukomaa hivyo kumpa

Continue reading

Faida za Greenhouse

Greenhouse(Banda Kitalu):ni teknolojia ya kuipatia mimea mazingira mazuri ambayo yataisaidia mimea/mazao kumea vizuri na kua na uzao mkubwa, mimea hii inapandwa kwenye banda, au nyumba maalumu.Teknolojia hii inatumika hasa kuikinga

Continue reading

Jipatie Muongozo wa Kilimo cha Vitunguu Swaumu

Habari za leo Mjasiriamali wa kilimo, mtandao wako wa kilimo.net unakuletea Muongozo wa kulima Kitaalamu zao la Vitunguu swaumu (Master Plan) pamoja na Mchanganuo wa gharama na faida za kilimo

Continue reading