UZALISHAJI WA VITUNGUU KIBIASHARA – LIMA KIJANJA (SMART FARMING)
Habari rafiki, Natumaini unaendelea vyema kabisa na harakati za kusaka mafanikio kupitia kilimo. Nitumie fursaa hii kukukaribisha sana kwenye blog hii ya kilimo (www.kilimo.net), kupitia blog hii utajifunza kila kitu
Mambo matano ya muhimu kuyafahamu kabla ya kuwekeza kwenye Kilimo
Habari ndugu msomaji wa blog ya Kilimo Biashara, napenda kukaribisha katika mafunzo ya kilimo yatakayokua yanakujia hapa, lengo ni kuhakikisha unapata elimu na maarifa ya jinsi ya kufanya kilimo chako
Haya Ndio Mapinduzi Makubwa Tunayohitaji Ili Kufanikiwa Kwenye Kilimo.
Sekta ya kilimo ndio sekta inayoajri watu wengi kwa hapa Tanznia inakaridiriwa zaidi ya aslimia 80 ya watanznaia wanategemea sekta hii aidha moja kwa moja au wananufaika kwa namna moja
Kuhusu Kilimo Biashara
Kilimo Biashara ni mtandao (Blog) ambao upo kwa ajili ya kutoa mafunzo na taarifa kwa wajasiriamali wa kilimo ili kuwasaidia kuzalisha kwa ubora na kufanya biashara ya kilimo kwa faida.