Category : USHAURI

Aina za machungwa zinazozalishwa nchini Tanzania

Kuna aina nyingi sana za machungwa zinazozalishwa kote dunia. Hizi ni baadhi ya aina za machungwa yanayozalishwa nchini Tanzania. 1. Late Valencia: Aina hii ya machungwa huchelewa kukomaa hivyo kumpa

Continue reading

Faida za Greenhouse

Greenhouse(Banda Kitalu):ni teknolojia ya kuipatia mimea mazingira mazuri ambayo yataisaidia mimea/mazao kumea vizuri na kua na uzao mkubwa, mimea hii inapandwa kwenye banda, au nyumba maalumu.Teknolojia hii inatumika hasa kuikinga

Continue reading

KANUNI ZA UPANDAJI MBOGA NA MATUNDA

Utangulizi Upandaji mboga na matunda katika maeneo mengi ya nchi yetu unazidi kukua siku hadi siku. Bidhaa au mazao yanayopatikana katika sehemu hizi huuzwa katika masoko ya humu nchini na

Continue reading

Faida za Kilimo cha Miembe (Milioni 8 kwa ekari 1 tu)

Embe ni tunda maarufu na limekuwa likitambulika kama mfalme wa matunda. Matunda ya embe yanatumika yakiwa mabichi au yameiva. Matunda yaliyoiva yanaliwa kama tunda au pia yanaweza kutengenezwa juisi na

Continue reading

OFA! OFA ! OFA! Miche ya Matunda

MICHE YA MATUNDA ILIYOBORESHWA. Je unataka kuwekeza kwenye Kilimo cha miti ya matunda chenye faida? Kigezo muhimu sana cha kuzingatia, ni kupanda miche bora yenye uhakika. Kilimo Biashara tunakuletea miche

Continue reading

Jipatie Miche bora ya Papai za kisasa

Jipatie miche ya Papai za kisasa, iliyoandaliwa kitaalamu. Miche ya Papai za Kisasa (Malkia F1) Miche iliyoandaliwa kitaalamu (Kwa kuzingatia kanuni za uzalishaji miche) Miche yenye afya nzuri (haina wadudu

Continue reading

Kilimo Bora Cha Migomba

Utangulizi Nchini Tanzania na hata kwingineko katika nchi zingine, wakulima walio wengi hujishughulisha sana kulima mazao mengi ya kibiashara ikiwezo matunda na mbogamboga na kusahau kabisa kilimo cha ndizi ambacho

Continue reading

Jipatie MICHE BORA YA MATUNDA (Simu: 0763 071007)

Jipatie Miche bora ya matunda mbalimbali kama Papai, Michungwa, Miembe, Miparachihchi, Pesheni (passion), Limao, Mipera, Michenza, Misatafeli, Topetope, Mifenesi minazi, n.k. Embe Miembe ni ile mifupi iliyofanyiwa Grafting. Miaka 3

Continue reading

FAIDA ZA KUUNGANISHA/KUBEBESHA MICHE (Grafting/budding)

Sehemu mbili za mimea ya jamii moja (muembe kwa muembe, mparachichi kwa mparachichi) au miche ya aina tofauti kidogo ila jamii moja (mchungwa kwa mlimao) ndiyo inayoweza kuunganishwa au kubebeshwa.

Continue reading

OFA! OFA! OFA! Jipatie Miongozo ya Kulima Kitaalamu

Habari njema Leo Kilimo Biashara tunapenda kukujulisha kwamba ile OFA ya mwezi February 2017 imerejea tena. Ni ile OFA ya Master plan na CBA (cost benefit analysis). Baada ya kuuliziwa

Continue reading