BLOG

OFA! OFA! OFA Maalumu – mwisho 31. Dec.2019

Ile Ofa maalumu imerudi tena. Kwa msimu huu wa sikuu za mwisho wa mwaka tunakuletea OFA maalumu ya kupata vitabu 3 vya kilimo kwa punguzo la zaidi ya asimia 70

Continue reading

KANUNI ZA UPANDAJI MBOGA NA MATUNDA

Utangulizi Upandaji mboga na matunda katika maeneo mengi ya nchi yetu unazidi kukua siku hadi siku. Bidhaa au mazao yanayopatikana katika sehemu hizi huuzwa katika masoko ya humu nchini na

Continue reading

Faida za Kilimo cha Miembe (Milioni 8 kwa ekari 1 tu)

Embe ni tunda maarufu na limekuwa likitambulika kama mfalme wa matunda. Matunda ya embe yanatumika yakiwa mabichi au yameiva. Matunda yaliyoiva yanaliwa kama tunda au pia yanaweza kutengenezwa juisi na

Continue reading

OFA! OFA ! OFA! Miche ya Matunda

MICHE YA MATUNDA ILIYOBORESHWA. Je unataka kuwekeza kwenye Kilimo cha miti ya matunda chenye faida? Kigezo muhimu sana cha kuzingatia, ni kupanda miche bora yenye uhakika. Kilimo Biashara tunakuletea miche

Continue reading

Jipatie Miche bora ya Papai za kisasa

Jipatie miche ya Papai za kisasa, iliyoandaliwa kitaalamu. Miche ya Papai za Kisasa (Malkia F1) Miche iliyoandaliwa kitaalamu (Kwa kuzingatia kanuni za uzalishaji miche) Miche yenye afya nzuri (haina wadudu

Continue reading

Kilimo Bora Cha Migomba

Utangulizi Nchini Tanzania na hata kwingineko katika nchi zingine, wakulima walio wengi hujishughulisha sana kulima mazao mengi ya kibiashara ikiwezo matunda na mbogamboga na kusahau kabisa kilimo cha ndizi ambacho

Continue reading

Matumizi Ya Samadi (Samadi ya kuku, mbuzi na ng’ombe)

Samadi ndiyo mbolea ya kwanza kuwekwa shambani bada ya kulima. Wakulima wengi hutumia mbolea ya samadi ya kuku kutegemeana na uwezekano wa kupatikana. Hata hivyo, samadi za mifugo tofauti zina

Continue reading

Jipatie MICHE BORA YA MATUNDA (Simu: 0763 071007)

Jipatie Miche bora ya matunda mbalimbali kama Papai, Michungwa, Miembe, Miparachihchi, Pesheni (passion), Limao, Mipera, Michenza, Misatafeli, Topetope, Mifenesi minazi, n.k. Embe Miembe ni ile mifupi iliyofanyiwa Grafting. Miaka 3

Continue reading

FAIDA ZA KUUNGANISHA/KUBEBESHA MICHE (Grafting/budding)

Sehemu mbili za mimea ya jamii moja (muembe kwa muembe, mparachichi kwa mparachichi) au miche ya aina tofauti kidogo ila jamii moja (mchungwa kwa mlimao) ndiyo inayoweza kuunganishwa au kubebeshwa.

Continue reading

Faida za Drip Irrigation (Umwagiliaji wa matone)

Umwagiliaji wa matone ni mfumo wa kisasa kwa umwagiliaji wa mimea na hasa mazao. Maji hupelekwa polepole kwa mabomba au mipira yenye matundu madogo moja kwa moja hadi kwenye shina laa

Continue reading