Category : Kilimo Biashara

Umwagiliaji wa Matone kwenye Kilimo cha Mahindi Mabichi (Ya Kuchoma): Njia ya Kuongeza Tija na Faida

Umwagiliaji wa Matone kwenye Kilimo cha Mahindi Mabichi (Ya Kuchoma): Njia ya Kuongeza Tija na Faida

1. Utangulizi Kilimo cha mahindi mabichi (ya kuchoma) ni fursa kubwa ya biashara kwa wakulima nchini Tanzania, hasa katika maeneo ya pembezoni mwa miji mikubwa kama Dar es Salaam, Dodoma,

Continue reading

Umuhimu wa Kutumia Drip Irrigation Katika Kilimo cha Mboga kwa Faida Kubwa

Umuhimu wa Kutumia Drip Irrigation Katika Kilimo cha Mboga kwa Faida Kubwa

UtanguliziKwa mkulima yeyote anayelenga kupata faida kubwa na kupunguza gharama za uzalishaji, mfumo wa drip irrigation (umwagiliaji wa matone) ni suluhisho la kisasa na lenye tija. Nikiwa na uzoefu wa

Continue reading

Siri za Kilimo cha Nazi Chenye Faida Kubwa

Siri za Kilimo cha Nazi Chenye Faida Kubwa

Sehemu ya 1: Utangulizi Kilimo cha nazi (Cocos nucifera) kimekuwa nguzo muhimu ya maisha ya watu wengi duniani, hasa katika ukanda wa tropiki. Hata hivyo, wengi hawajui kuwa mti huu

Continue reading

Kilimo cha Papai: Fursa ya Dhahabu kwa Wakulima wa Kisasa

Kilimo cha Papai: Fursa ya Dhahabu kwa Wakulima wa Kisasa

Utangulizi Papai ni zao lenye thamani kubwa linalolimwa na kupendwa na walaji wengi kwa sababu ya ladha yake tamu, lishe bora, na matumizi mbalimbali. Kwa mkulima wa kisasa, papai siyo

Continue reading

Faida za Kilimo cha Nazi

Faida za Kilimo cha Nazi

Kilimo cha Nazi (Coconut Farming) Utangulizi Miti ya nazi (Cocos nucifera) ni moja ya mazao ya kudumu yenye thamani kubwa ulimwenguni, na pia ni zao lenye nafasi kubwa ya kibiashara

Continue reading

Eliza: Mkulima wa Papai

Eliza: Mkulima wa Papai

Leo tunakwenda kumwangazia mkulima Eliza, mwandada mwenye dhamira ya kufanya makubwa kwenye kilimo. Baada ya miezi kadhaa ya kufanya kazi na Eliza kwenye project yake ya Papai, sasa hivi Eliza

Continue reading

Greenhouse – Fursa na Faida zake

Habari ndugu mjasiriamali wa kilimo ni matumaini yangu unaendelea vizuri na mapambano ya kuelekea kwenye mafanikio kupitia kilimo. Karibu tena katika kona hii ya kupata maarifa ya kilimo. Kutokana na

Continue reading

Greenhouse Mpya – Dege Kigamboni

Greenhouse Mpya – Dege Kigamboni

Project ya Greenhouse hapa Dege, Kigamboni Dar, inaendelea vyema. Leo tumekamilisha zoezi la kufunika. Tunaelekea ukingoni kabisa kukamilisha ujenzi wa project hii. Greenhouse hii ni ndogo na imejengwa nyumbani kabisa

Continue reading

Soko: Je utajuaje kipindi chenye soko zuri?

Kama tulivyoshuhudia hivi karibuni namna bei ya nyanya na vitunguu ilivyopanda hadi kufikia kuwa gumzo kwa taifa zima. Mfano kuna maeneo tenga moja la nyanya la kilo 40 lilifika hadi

Continue reading